Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Monday, June 22, 2015

Falcao anakaribia kutua Chelsea



Imekua ikiripotiwa na vyombovyombo mbalimbali kwa Falcao anakaribia kutua Chelsea FC na hii ni baada ya kuwa amerudi kwenye clabu yake ya Monaco baada ya mkopo wake msimu uliopita katika klabu ya Manchester United kutozaa matunda.
Ni swala la muda kabla ya kujulikana ni klabu gani Falcao anaelekea

No comments:

Post a Comment