
Utata mpya waibuka mtoto wa Zari
MAWAKILI wa kampuni ya Web Advocates & Solicitors wa nchini Uganda wamemwandikia barua mzazi mwenza wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz, Zari Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kutaka mwanaye Tiffah afanyiwe vipimo vya DNA ili kuthibitisha mzazi wa mtoto huyo ikiwa ni sehemu ya madai ya tajiri King Lawrence.
No comments:
Post a Comment