
Beckham anatajwa kuchukua nafasi ya Daniel Craig ambaye mkataba wake unakaribia kumalizika, Beckham ambaye
ni baba wa watoto wa nne amekiri kuwa aliwahi kufikiria kucheza movie
baada ya mashabiki kushauri hilo . Hata hivyo taarifa hizi sio ngeni kwa
mashabiki wa Beckham kwani ameshawahi kukiri kushawishika katika masuala ya movie.
No comments:
Post a Comment