Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, June 1, 2016

Picha: Wolper atambulisha ukweni na Harmonize

.
13259601_1314343238581519_206160940_n
Wikiendi iliyopita hitmaker wa Bado, Harmonize alimpeleka mpenzi wake Jacqueline Wolper kwao Mtwara alikoenda kutumbuiza kwa mara ya kwanza tangu aukwae ustaa kupitia label ya WCB.
“Time Ya Kumsaidia mama Harmo Kuanda Chakula Cha Usiku Mtwara Life @wolperstylish,” aliandika Harmonize kwenye picha inayomuonesha Wolper akichuma matembele shambani.
13269495_997654133675756_1276056169_n
Naye Wolper alipost picha akiwa na mama mkwe na kuandika: I am having the best time of my life.. Nikiwa na Mama angu… Kabla hamjatoka lazima mpige story, akuchekeshe… Mjipikilishe.. Akushauri
Hapa nimepata rafiki kwa kweli…I love my mama Mkwe.. Mama Raj wangu.”
13257022_255519324807036_1630954995_n
Wolper akiongea na mama yake Harmonize
Kwenye picha nyingine akiwa na mpenzi wake hiyo, Wolper aliandika:
Pale unapotoka kula ugali wa muhogo na sangara kwa mkwe yani ni amani tu…dizaini na ka rangi kamezidi kukubali.”
Uhusiano wa mastaa hao wawili umetengeneza vichwa vya habari mwezi huu baada ya kuamua kuuweka wazi.

No comments:

Post a Comment