Zaidi ya wanachama 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA) wakiwemo viongozi wa kata mbalimbali katika wilaya ya Ludewa
mkoani Njombe, wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha
ACT-Wazalendo.Wanachama hao wamefikia maamuzi ya kukihama chama hicho huku wakiwalalamikia viongozi wao wa CHADEMA wilaya na taifa kumkata mgombea wao wa ubunge jimbo la Ludewa waliyemuhitaji Bwana Okol Haule na kumuweka mgombea wanayemuhitaji wao bwana Bathoromeo Mkinga.
No comments:
Post a Comment